Ndugu zangu nawaalika katika blog hii mpya ya MWANGA WA JAMII. Lengo la kuianzisha ni kuweza kushirikishana mambo mabalimbali yanayohusu familia zetu na kutuunganisha wote ili tuweze kusaidiana na kama kawaida tujuavyo waafrika sio wachoyo wa Fadhila
ungana nasi na Tuijenge jamii yetu.
asanteni sana.
ungana nasi na Tuijenge jamii yetu.
asanteni sana.
No comments:
Post a Comment