![]() |
| St. Peter The First Pope of Catholic Church. 32--67. B.C |
Na aliongoza Kanisa katoliki Toka Mwaka wa 32 hadi Mwaka wa 67. alipouwawa kwa kusulibiwa katika Msalaba . katika kifo chake Petro alipoona Msalaba, alikataa kusulibiwa kama Yesu ambaye ni Mwokozi ila akawaambia wamsulibishe kichwa chini miguu juu, ili asijifananishe na Mwokozi. Ndivyo ilivyokuwa Mwisho wa Petro na nafasi yake ikachukuliwa na Baba Mtakatifu Linus kutoka Mwaka huo wa 67

No comments:
Post a Comment