Wednesday, February 20, 2013

St. Linus 2nd Pope 67-76
Baba Mtakatifu Linus ni Papa aliyemfuata Mtakatifu Petro baada ya kifo chake na aliongoza toka Mwaka 67-76 na huyu Ndiye anayetajwa katika Agano jipya kama Mt. Petro kama ilivyo kwa Petro Mt. Linus aliliongoza kanisa katika mazingira Magumu na alikuwa pamoja na Petro enzi hizo za utawala wa Roma. watu waliweza kumwita Petro wa pili kulingana na jinsi alivyokuwa anapenda kufanya kazi kwa ujasiri mkubwa katika mazingira magumu. alifariki Mwaka wa 76 B C na nafasi yake kuchukuliwa na  Baba Mtakatifu St. Anacletus Mwaka huo huo wa 76.

No comments:

Post a Comment